25 Lakini walipokuwa wamemnyoosha ili kumpiga mijeledi, Paulo akamuuliza ofisa wa jeshi aliyekuwa amesimama hapo: “Je, ni halali kwenu kumpiga mijeledi Mroma* ambaye hajahukumiwa?”*+
25 Lakini walipokuwa wamemnyoosha ili apigwe mijeledi, Paulo akamwambia ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama hapo: “Je, ni halali kwa ninyi watu kumpiga mijeledi mtu ambaye ni Mroma+ na ambaye hajahukumiwa kuwa mwenye hatia?”