29 Kwa hiyo, mara moja watu waliokuwa karibu kumhoji kwa kumtesa wakamwacha; na kamanda wa jeshi akaogopa alipotambua kwamba Paulo ni Mroma na kwamba alikuwa amemfunga kwa minyororo.+
29 Kwa hiyo, mara moja watu waliokuwa karibu kumhoji kwa kumtesa wakaondoka kwake; na kiongozi wa kijeshi akaogopa alipohakikisha kwamba alikuwa Mroma+ na kwamba alikuwa amemfunga.