22 Hata hivyo, Feliksi, akiwa anajua vizuri ukweli kuhusu Njia hii,+ akaahirisha kesi yao kwa kusema: “Lisia kamanda wa jeshi atakapokuja, nitaamua mambo haya yanayowahusu.”
22 Hata hivyo, Feliksi,+ akijua kwa usahihi kabisa mambo yanayoihusu Njia+ hii, akaahirisha kesi ya watu hao na kusema: “Wakati wowote Lisia+ kiongozi wa kijeshi atakapokuja, nitaamua mambo haya yanayowahusu ninyi.”