-
Matendo 24:22Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
22 Hata hivyo, Feliksi, akijua kwa usahihi kabisa mambo yahusuyo Njia hii, akaanza kuwaahirisha hao watu na kusema: “Wakati wowote Lisiasi kamanda wa kijeshi ateremkapo, mimi nitaamua mambo haya yanayowahusu nyinyi.”
-