25 Lakini Paulo alipokuwa akiongea kuhusu uadilifu na kujizuia* na hukumu itakayokuja,+ Feliksi akaogopa na kumwambia: “Kwa sasa unaweza kwenda, lakini nitakapopata nafasi nitakuita tena.”
25 Lakini alipokuwa akiongea juu ya uadilifu+ na kujizuia+ na hukumu+ itakayokuja, Feliksi akaogopa na kujibu: “Kwa wakati huu wa sasa ondoka uende, lakini nitakapopata wakati unaofaa nitakuita tena.”