14 Sisi sote tulipoanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia katika lugha ya Kiebrania: ‘Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa? Kuendelea kuipiga teke michokoo* kunafanya iwe vigumu kwako.’
14 Na sisi sote tulipokuwa tumeanguka chini nikasikia sauti ikiniambia katika lugha ya Kiebrania, ‘Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa? Kuendelea kuipiga teke michokoo hufanya iwe vigumu kwako.’+