22 Hata hivyo, kwa sababu nimepata msaada kutoka kwa Mungu, mpaka leo hii ninaendelea kutoa ushahidi kwa wadogo na wakubwa pia, bila kusema lolote zaidi ya yale ambayo Manabii na pia Musa walisema yatatukia+—
22 Hata hivyo, kwa sababu nimeupata msaada+ kutoka kwa Mungu ninaendelea mpaka leo kutoa ushahidi kwa wadogo na wakubwa pia, lakini bila kusema lolote ila mambo ambayo Manabii+ na vilevile Musa+ walisema yatatukia,