21 Baada ya watu kukaa kwa muda mrefu bila kula, Paulo alisimama katikati yao na kusema: “Ikiwa mngefuata ushauri wangu hamngesafiri baharini kutoka Krete na hivyo hamngepatwa na madhara na hasara hii.+
21 Na baada ya kujiepusha na chakula kwa muda mrefu, Paulo akasimama katikati yao+ na kusema: “Mlipaswa kufuata shauri langu na kutosafiri katika bahari kutoka Krete na hivyo mwepuke kupatwa na madhara na hasara hii.+