18 Kwa kuwa ghadhabu ya Mungu+ inafunuliwa kutoka mbinguni dhidi ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu ambao wanaikandamiza kweli+ kwa njia isiyo ya uadilifu,
18 Kwa maana ghadhabu+ ya Mungu inafunuliwa kutoka mbinguni juu ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu+ ambao wanaikandamiza kweli+ katika njia isiyo ya uadilifu,+