2Kwa hiyo huwezi kujitetea, ewe mwanadamu, hata uwe nani,+ ikiwa unahukumu; kwa maana unapomhukumu mwingine, unajihukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu umezoea kufanya mambo hayohayo.+
2Kwa hiyo wewe huna sababu ya kujitetea, Ee mwanadamu,+ hata uwe nani, ukihukumu;+ kwa maana katika jambo lile ambalo unamhukumu mwingine, unajihukumu mwenyewe kuwa una hatia, kwa sababu wewe unayehukumu+ una mazoea ya kufanya mambo hayo hayo.+