15 Wao wenyewe wanaonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao, huku dhamiri yao ikiwatolea ushahidi, na kwa* fikira zao wenyewe wanashtakiwa au hata kutetewa.
15 Wao ndio wanaoonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao,+ huku dhamiri+ yao ikiwatolea ushahidi na, katikati ya fikira zao wenyewe, wanashtakiwa+ au hata kutetewa.