4 La hasha! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ hata ikiwa kila mwanadamu ataonekana kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uthibitike kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+
4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+