14 Hata hivyo, kifo kilitawala kama mfalme tangu Adamu mpaka Musa, hata juu ya wale ambao hawakuwa wamefanya dhambi kama vile Adamu alivyofanya kosa, ambaye ni mfano wa yule aliyepaswa kuja.+
14 Hata hivyo, kifo kilitawala kama mfalme tangu Adamu mpaka Musa,+ hata juu ya wale ambao hawakuwa wamefanya dhambi inayofanana na kosa la Adamu,+ aliye mfano wake yeye aliyepaswa kuja.+