15 Lakini zawadi si kama lile kosa. Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja wengi walikufa, fadhili zisizostahiliwa za Mungu na zawadi yake ya bure kupitia fadhili zisizostahiliwa za mtu mmoja,+ Yesu Kristo, zilizidi* hata zaidi kwa wengi!+
15 Lakini sivyo ilivyo kwa ile zawadi kama ilivyokuwa kwa lile kosa. Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja wengi walikufa, fadhili zisizostahiliwa za Mungu na zawadi yake ya bure ikiwa pamoja na fadhili zisizostahiliwa kupitia mtu mmoja+ Yesu Kristo zilizidi sana kwa wengi.+