4 Basi, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+
4 Hivyo, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria+ kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ muwe wa yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+