11 Basi, ikiwa roho ya yule aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu inakaa ndani yenu, yule aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu+ ataifanya pia miili yenu inayoweza kufa iwe hai+ kupitia roho yake inayokaa ndani yenu.
11 Basi, ikiwa roho ya yule aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu inakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu+ ataifanya pia miili yenu inayoweza kufa iwe hai+ kupitia roho yake inayokaa ndani yenu.