Waroma 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo basi, haitegemei jinsi mtu anavyotamani au jitihada zake,* bali inategemea Mungu, aliye na rehema.+ Waroma 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo basi, haitegemei yule anayetaka wala yule anayekimbia, bali hutegemea Mungu,+ aliye na rehema.+ Waroma Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:16 Mnara wa Mlinzi,3/15/1991, uku. 21
16 Hivyo basi, haitegemei jinsi mtu anavyotamani au jitihada zake,* bali inategemea Mungu, aliye na rehema.+
16 Hivyo basi, haitegemei yule anayetaka wala yule anayekimbia, bali hutegemea Mungu,+ aliye na rehema.+