9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+