14 Ninajua, nami ninaamini katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu ambacho ndani yake chenyewe ni kichafu;+ isipokuwa tu mtu anapokiona kitu kuwa kichafu, kwake yeye hicho huwa kichafu.
14 Najua nami nasadikishwa katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu ambacho ndani yake chenyewe ni najisi;+ ni pale tu ambapo mtu anakiona kitu kuwa najisi, kwake yeye hicho huwa najisi.+