27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na kwa hakika walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho, wao pia wana deni la kuwahudumia kwa vitu vyao vya kimwili.+
27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+