19 Utii wenu umejulikana na watu wote, basi ninashangilia kwa sababu yenu. Hata hivyo, ninataka muwe na hekima kuhusu yaliyo mema, lakini wasio na hatia kuhusu yaliyo maovu.+
19 Kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote.+ Kwa hiyo nashangilia juu yenu. Lakini nataka ninyi muwe wenye hekima+ kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia+ kuhusu yaliyo maovu.+