26 lakini sasa imeonyeshwa wazi* na kujulishwa kupitia Maandiko ya kinabii kati ya mataifa yote kulingana na amri ya Mungu anayedumu milele, ili kuendeleza utii kwa imani;
26 lakini sasa imefunuliwa+ na kujulishwa kupitia maandiko ya kinabii kati ya mataifa yote kwa kupatana na amri ya Mungu anayedumu milele ili kuendeleza utii kwa njia ya imani;+