2 kwa kutaniko la Mungu lililo huko Korintho,+ kwenu ninyi ambao mmetakaswa katika muungano na Kristo Yesu,+ mlioitwa kuwa watakatifu, pamoja na wale wote ambao kila mahali wanaliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo,+ Bwana wao na wetu:
2 kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho,+ kwenu ninyi ambao mmetakaswa+ katika muungano na Kristo Yesu, mlioitwa kuwa watakatifu,+ pamoja na wote ambao kila mahali wanaliitia jina+ la Bwana wetu, Yesu Kristo, Bwana wao na wetu:+