10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa za Mungu nilizopewa, niliweka msingi,+ nikiwa mjenzi mkuu mwenye ustadi,* hata hivyo, mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.
10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu nilizopewa, mimi kama msimamizi wa ujenzi mwenye hekima niliweka msingi,+ lakini mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.+