13 Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula, lakini Mungu atavifanya vyote viwe si kitu.+ Mwili si kwa ajili ya uasherati,* bali ni kwa ajili ya Bwana,+ na Bwana ni kwa ajili ya mwili.
13 Vyakula kwa ajili ya tumbo, na tumbo kwa ajili ya vyakula;+ lakini Mungu atafanya hilo na pia hivyo viwe si kitu.+ Basi mwili si kwa ajili ya uasherati, bali kwa ajili ya Bwana;+ na Bwana ni kwa ajili ya mwili.+