35 Lakini ninasema hivyo kwa faida yenu wenyewe, si ili niwazuie,* bali niwachochee kufanya jambo linalofaa na kumtumikia Bwana daima bila kukengeushwa fikira.
35 Lakini nasema jambo hili kwa faida yenu ya kibinafsi, si ili niwategee mtego, bali ili niwasukume ninyi kwenye lile linalofaa+ na lile linalomaanisha kumhudumia Bwana daima bila kukengeushwa fikira.+