25 Sasa kila mtu anayeshiriki katika shindano* hujizuia* katika mambo yote. Bila shaka, wao hushindana ili wapate taji linaloweza kuharibika,+ lakini sisi taji lisiloharibika.+
25 Zaidi ya hayo, kila mtu anayeshiriki katika shindano hujizuia+ katika mambo yote. Basi wao, bila shaka, hushindana ili wapate taji+ linaloharibika, lakini sisi ili tupate taji lisiloharibika.+