26 Basi, tuseme nini akina ndugu? Mnapokusanyika pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, na mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.
26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+