-
1 Wakorintho 14:26Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mjapo pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri. Acheni mambo yote yatukie kwa ajili ya kujenga.
-