15 Isitoshe, tunaonekana pia kuwa mashahidi wa uwongo wa Mungu,+ kwa sababu tumetoa ushahidi dhidi ya Mungu kwa kusema kwamba alimfufua Kristo,+ ambaye hakumfufua ikiwa kwa kweli wafu hawatafufuliwa.
15 Zaidi ya hayo, tunaonekana pia kuwa mashahidi wa uwongo wa Mungu,+ kwa sababu tumetoa ushahidi+ juu ya Mungu kwamba yeye alimfufua Kristo,+ lakini ambaye hakumfufua ikiwa kwa kweli wafu hawatafufuliwa.+