19 Kwa maana Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, aliyehubiriwa miongoni mwenu kupitia sisi, yaani, kupitia mimi na Silvano* na Timotheo,+ hakuwa “ndiyo” na wakati uleule “siyo,” bali kuhusiana naye “ndiyo” imekuwa “ndiyo.”
19 Kwa maana Mwana wa Mungu,+ Kristo Yesu, aliyehubiriwa katikati yenu kupitia sisi, yaani, kupitia mimi na Silvano na Timotheo,+ hakuwa Ndiyo na pia Siyo, bali Ndiyo imekuwa Ndiyo kuhusiana naye.+