14 Kwa maana upendo alio nao Kristo hutuchochea, kwa sababu tumefikia uamuzi huu, kwamba mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote;+ hivyo basi, wote walikuwa wamekufa.
14 Kwa maana upendo alio nao Kristo hutulazimisha, kwa sababu hili ndilo tumehukumu, kwamba mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote;+ kwa hiyo, basi, wote walikuwa wamekufa;