Isaya 53:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa. Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+ Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ 1 Timotheo 2:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa.
10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa. Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa.