Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa.

      Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+

      Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+

      Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+

  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+

  • 1 Timotheo 2:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki