Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ Marko 10:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+ Wakolosai 1:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Alituokoa kutoka kwenye mamlaka ya giza+ na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa, 14 ambaye kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa fidia, kusamehewa dhambi zetu.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+
13 Alituokoa kutoka kwenye mamlaka ya giza+ na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa, 14 ambaye kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa fidia, kusamehewa dhambi zetu.+