10 Hiyo ndiyo sababu ninaandika mambo haya nikiwa sipo, ili nitakapokuja, nisiwe mkali katika kutumia mamlaka ambayo Bwana alinipa,+ ili kujenga na si kubomoa.
10 Hiyo ndiyo sababu naandika mambo haya nikiwa sipo, ili, nitakapokuwapo, nisitende kwa ukali+ kulingana na mamlaka ambayo Bwana alinipa, ili kujenga+ na si kubomoa.