6 Ninashangaa kwamba mnageuzwa* upesi kutoka kwa Yule aliyewaita kwa fadhili zisizostahiliwa za Kristo nanyi mnaenda kwenye habari njema ya aina nyingine.+
6 Mimi ninashangaa kwamba mnaondolewa upesi hivyo kutoka kwake Yeye+ aliyewaita ninyi kwa fadhili zisizostahiliwa+ za Kristo nanyi mnapelekwa kwenye habari njema ya aina nyingine.+