10 Nina uhakika kwamba ninyi mlio katika muungano na Bwana+ hamtakuja kufikiria jambo tofauti; lakini yule anayewasababishia taabu,+ hata iwe ni nani, atapokea hukumu anayostahili.
10 Nina uhakika+ juu yenu ninyi ambao mko katika muungano+ na Bwana kwamba hamtakuja kufikiri tofauti; lakini yule anayewasababishia ninyi taabu+ atachukua hukumu yake,+ hata awe ni nani.