2 Wakorintho 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa hiyo niliandika jambo hili, ili, nitakapokuja, nisihuzunike+ kwa sababu ya wale ambao ninapaswa kushangilia juu yao;+ kwa sababu nina uhakika+ katika ninyi nyote kwamba shangwe niliyo nayo ni ile yenu nyote.
3 Na kwa hiyo niliandika jambo hili, ili, nitakapokuja, nisihuzunike+ kwa sababu ya wale ambao ninapaswa kushangilia juu yao;+ kwa sababu nina uhakika+ katika ninyi nyote kwamba shangwe niliyo nayo ni ile yenu nyote.