12 Wote wanaotaka kujionyesha kuwa wazuri katika mwili* ndio wanaojaribu kuwalazimisha mtahiriwe, wakifanya hivyo ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso* wa Kristo.
12 Wale wote wanaotaka kuwa na sura ya kupendeza katika mwili ndio wanaojaribu kuwalazimisha ninyi mtahiriwe,+ ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso wa Kristo,+ Yesu.