14 Lakini sitajisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso* wa Bwana wetu Yesu Kristo,+ ambaye kupitia kwake ulimwengu umeuawa* kuhusiana nami, nami kuhusiana na ulimwengu.
14 Mimi nisijisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso+ wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye ulimwengu umetundikwa mtini+ kwangu na mimi kwa ulimwengu.