3 Ndiyo, wakati fulani sisi sote tulijiendesha miongoni mwao kupatana na tamaa za mwili wetu,+ tukifanya mapenzi ya mwili na ya fikira zetu,+ nasi kiasili tulikuwa watoto wa ghadhabu+ kama wale wengine.
3 Ndiyo, wakati fulani sisi sote tulijiendesha katikati yao kupatana na tamaa za mwili wetu,+ tukifanya mambo yanayopendwa na mwili+ na fikira, nasi kiasili tulikuwa watoto wa ghadhabu+ sawa na wale wengine.