18 Hata hivyo, nina kila kitu ninachohitaji, na hata zaidi. Nimejaziwa kila kitu, kwa kuwa sasa nimepokea kutoka kwa Epafrodito+ vitu mlivyotuma, harufu tamu,+ dhabihu yenye kukubalika, inayompendeza Mungu vema.
18 Hata hivyo, mimi nina vitu vyote kwa ukamili nami nina wingi. Nimejaa, kwa kuwa sasa nimepokea kutoka kwa Epafrodito+ vitu vilivyotoka kwenu, harufu tamu,+ dhabihu yenye kukubalika,+ inayompendeza Mungu vyema.