12 Epafra,+ mtumwa wa Kristo Yesu, ambaye ametoka kwenu, anawatumia salamu zake. Sikuzote anajikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe msimame mkiwa kamili na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu.
12 Epafra,+ ambaye ni kutoka kati yenu, mtumwa wa Kristo Yesu, anawatumia ninyi salamu zake, sikuzote akijikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe msimame mkiwa kamili+ na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu.