8 Kwa kweli, mmelitangaza neno la Yehova* katika Makedonia na Akaya, na pia kila mahali watu wamesikia kuhusu imani yenu katika Mungu,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.
8 Ukweli ni kwamba, si kwamba neno la Yehova+ kutoka kwenu limevuma tu katika Makedonia na Akaya, bali pia kila mahali imani yenu+ kwa Mungu imeenea kotekote,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.