-
1 Wathesalonike 1:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Uhakika ni kwamba, si kwamba neno la Yehova limevuma tu kutoka kwenu nyinyi katika Makedonia na Akaya, bali pia katika kila mahali imani yenu kuelekea Mungu imesambaa kotekote, hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote.
-