6 Wala hatujatafuta utukufu kutoka kwa wanadamu, iwe ni kutoka kwenu au kwa watu wengine, ingawa tukiwa mitume wa Kristo tungeweza kuwa mzigo wenye gharama kwenu.+
6 Wala hatutafuti utukufu kutoka kwa wanadamu,+ hapana, ama kutoka kwenu ninyi au kutoka kwa wengine, ingawa tungeweza kuwa mzigo wenye gharama+ tukiwa mitume wa Kristo.