8 Basi, kwa maana tulikuwa na upendo mwororo kwenu, tulijitahidi* kuwapa habari njema ya Mungu na hata uhai wetu* wenyewe,+ kwa sababu tuliwapenda sana.+
8 Kwa hiyo, tukiwa na upendo mwororo kwa ajili yenu,+ tulipendezwa vema kuwapa ninyi, si habari njema ya Mungu tu, bali pia nafsi zetu wenyewe,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wapendwa+ kwetu.