17 Hata hivyo, akina ndugu, tulipotenganishwa nanyi* kwa muda mfupi (katika mwili, bali si moyoni), kwa kuwa tulitamani sana, tulijitahidi kabisa kuwaona tena uso kwa uso.*
17 Na kwa habari yetu wenyewe, akina ndugu, tulipoachwa mayatima bila ninyi kwa wakati mfupi tu, kimwili, si katika moyo, tulijitahidi zaidi kuliko ilivyo kawaida ili kuona nyuso zenu tukiwa na tamaa kubwa.+