4 Mwishowe, akina ndugu, tunawaomba ninyi na kuwahimiza kwa njia ya Bwana Yesu, kama vile mlivyopokea mafundisho kutoka kwetu kuhusu mnavyopaswa kutembea+ na kumpendeza Mungu, kwa kweli kama vile mnavyotembea, kwamba mwendelee kufanya hivyo kwa ukamili zaidi.+