4 Yeye ni mpinzani na hujiinua juu ya wale wanaoitwa mungu au vitu vinavyoabudiwa,* na hivyo huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha waziwazi kuwa mungu.
4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+